Wana wa Zatu, mia kenda arobaini na watano.
Wa wana wa Zatu, Shekania, mwana wa Yahazieli; na pamoja naye wanaume mia tatu.
Na wa wana wa Zatu; Elioenai, na Eliashibu, na Matania, na Yeremothi, na Zabadi, na Aziza.
Wana wa Zatu, mia nane arobaini na watano.
Na wakuu wa watu; Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani;