2 mara katika SUV
Baana mwana wa Ahiludi, katika Taanaki na Megido, na Beth-sheani yote, iliyo kando ya Sarethani, chini ya Yezreeli, tangu Beth-sheani mpaka Abel-mehola, hata kupita Yokmeamu.
na Yokmeamu pamoja na viunga vyake, na Beth-horoni pamoja na viunga vyake;