Wakafumbuliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wa uchi, wakashona majani ya mtini, wakajifanyia nguo.
Zamani zake, Edomu wakaasi mkononi mwa Yuda, wakajifanyia mfalme.
Lakini pamoja na hayo watu wa kila taifa wakajifanyia miungu yao wenyewe, wakaiweka katika nyumba za mahali pa juu, walipopafanya Wasamaria, kila taifa katika miji yao walimokaa.
Zamani zake Edomu wakaasi chini ya mkono wa Yuda, wakajifanyia mfalme.