Skip to Content

"wakaingiwa"

5 mara katika SUV

Wakaingiwa na hofu wote waliokuwa wakikaa karibu nao; na mambo hayo yote yakatangazwa katika nchi yote ya milima milima ya Uyahudi.

Wakashangaa wote wakaingiwa na shaka, wakiambiana, Maana yake nini mambo haya?

Basi jemadari wa hekalu na wakuu wa makuhani waliposikia haya, wakaingiwa na shaka kwa ajili yao, litakuwaje jambo hilo.

Hata kulipopambauka askari wakaingiwa na fadhaa nyingi, amekuwaje Petro.

Na katika saa ile palikuwa na tetemeko kuu la nchi, na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka; wanadamu elfu saba wakauawa katika tetemeko lile. Na waliosalia wakaingiwa na hofu, wakamtukuza Mungu wa mbingu.