Skip to Content

"wakaasi"

8 mara katika SUV

Miaka kumi na miwili walimtumikia Kedorlaoma, hata mwaka wa kumi na tatu wakaasi.

Hivyo Israeli wakaasi juu ya nyumba ya Daudi hata leo.

Zamani zake, Edomu wakaasi mkononi mwa Yuda, wakajifanyia mfalme.

Hivyo Edomu wakaasi mkononi mwa Yuda hata leo. Na Libna wakaasi zamani zizo hizo.

Hivyo Israeli wakaasi juu ya nyumba ya Daudi, hata leo.

Zamani zake Edomu wakaasi chini ya mkono wa Yuda, wakajifanyia mfalme.

Hivyo Edomu wakaasi chini ya mkono wa Yuda, hata leo; wakaasi na Libna zamani zizo hizo chini ya mkono wake: kwa sababu alikuwa amemwacha Bwana, Mungu wa baba zake.

Lakini wakaasi, wakamhuzunisha Roho yake Mtakatifu; kwa hiyo akawageukia, akawa adui, akapigana nao.