Skip to Content

"uzishike"

6 mara katika SUV

Nawe uzishike amri za Bwana, Mungu wako, upate kwenda katika njia zake, na kumcha.

Leo hivi akuamuru Bwana, Mungu wako, kuzifanya amri hizi na hukumu; basi uzishike na kuzifanya kwa moyo wako wote na roho yako yote.

uyashike mausia ya Bwana, Mungu wako, uende katika njia zake, uzishike sheria zake, na amri zake, na hukumu zake, na shuhuda zake, sawasawa na ilivyoandikwa katika torati ya Musa, upate kufanikiwa katika kila ufanyalo, na kila utazamako;

Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.

Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.

Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, Maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.