Skip to Content

"tufanyeje"

4 mara katika SUV

Kisha Absalomu akamwambia Ahithofeli, Haya, toa shauri lako, tufanyeje.

Hata asubuhi na mapema mtumishi wake yule mtu wa Mungu alipoondoka, na kwenda nje, kumbe! Pana jeshi la watu, na farasi na magari, wameuzingira mji ule. Mtumishi wake akamwambia, Ole wetu! Bwana wangu, tufanyeje?

Ee Mungu wetu, je! Hutawahukumu? Maana sisi hatuna uwezo juu ya jamii kubwa hii, wanaotujia juu yetu; wala hatujui tufanyeje; lakini macho yetu yatazama kwako.

Basi wakamwambia, Tufanyeje ili tupate kuzitenda kazi za Mungu?