Isaka na Ishmaeli wanawe wakamzika katika pango ya Makpela, katika shamba la Efroni bin Sohari Mhiti, lielekealo Mamre.
Na wana wa Simeoni; ni Yemueli, na Yamini, na Ohadi, na Yakini, na Sohari, na Shauli mwana wa mwanamke wa Kikanaani; hao ni jamaa za Simeoni.
wa Sohari, jamaa ya Wasohari; wa Shauli, jamaa ya Washauli.
Wana wa Simeoni; Yemueli, na Yamini, na Yakini, na Sohari, na Shauli;