Skip to Content

"rehobu"

9 mara katika SUV

na Ebroni, na Rehobu, na Hamoni, na Kana, hata kufikilia Sidoni mkuu;

na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.

na Helkathi pamoja na malisho yake, na Rehobu pamoja na malisho yake; miji minne.

Asheri naye hakuwatoa wenyeji wa Aka, wala hao waliokaa Sidoni, wala hao wa Alabu, wala hao wa Akzibu, wala hao wa Helba, wala hao wa Afeka, wala hao wa Rehobu;

Tena Daudi akampiga Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kujipatia tena mamlaka yake huko Mtoni.

za Edomu, na za Moabu, na za wana wa Amoni, na za Wafilisti, na za Amaleki, na za nyara za Hadadezeri, mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.

Wana wa Amoni wakatoka, wakapanga vita mahali pa kuingilia lango; na Washami wa Soba, na wa Rehobu, na watu wa Tobu, na wa Maaka, walikuwa peke yao uwandani.

na Helkathi pamoja na viunga vyake, na Rehobu pamoja na viunga vyake;

Mika, Rehobu, Hashabia;