Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake;
Watu wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na watano.
Sanbalati na Geshemu wakatuma wajumbe kwangu, wakasema, Njoo, tukutane huko vijijini katika nchi tambarare ya Ono. Walakini wakakusudi kunifanyia mabaya.
Wana wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na mmoja.
Lodi, na Ono, bonde la Wakarashi.