Skip to Content

"ndiposa"

4 mara katika SUV

Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao, kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.

Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.

Ndiposa, ndugu zangu, sisi si watoto wa mjakazi, bali tu watoto wa huyo aliye mwungwana.