Skip to Content

"naliomba"

4 mara katika SUV

Naliomba nipewe mtoto huyu; Bwana akanipa dua yangu niliyomwomba;

Ee Bwana, nalikulilia Wewe, Naam, kwa Bwana naliomba dua.

Kutangulia mapambazuko naliomba msaada, Naliyangojea maneno yako kwa tumaini.

Akasema, Nalimlilia Bwana kwa sababu ya shida yangu, Naye akaniitikia; Katika tumbo la kuzimu naliomba, Nawe ukasikia sauti yangu.