Skip to Content

"mdhalimu"

5 mara katika SUV

Umewakemea mataifa; Na kumwangamiza mdhalimu; Umelifuta jina lao milele na milele;

Bwana amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.

Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.

Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; Bwana huwatia nuru macho yao wote wawili.

Bwana asema hivi, Fanyeni hukumu na haki, mkamtoe yeye aliyetekwa katika mikono ya mdhalimu; wala msiwatende mabaya mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kuwadhulumu, wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia katika mahali hapa.