Skip to Content

"mbarikiwe"

2 mara katika SUV

Naye Sauli akasema, Na mbarikiwe ninyi na Bwana; kwa sababu mmenihurumia.

Basi Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi, na kuwaambia, Na mbarikiwe ninyi na Bwana, kwa kuwa mmemtendea bwana wenu fadhili hii, yaani Sauli, mkamzika.