Skip to Content

"mazizi"

10 mara katika SUV

Isakari ni punda hodari, Ajilazaye kati ya mazizi ya kondoo;

Basi wakamwendea karibu, na kusema, Sisi tutafanya mazizi hapa kwa ajili ya wanyama wetu wa mifugo, na kujenga miji kwa ajili ya watoto wetu;

Basi, jengeni miji kwa ajili ya watoto wenu, na mazizi kwa ajili ya kondoo zenu; mkayafanye hayo mliotamka kwa vinywa vyenu.

na, Beth-nimra, na Beth-harani; miji yenye maboma, na mazizi ya kondoo.

Mbona ulikaa katika mazizi ya kondoo, Kusikiliza filimbi zipigwazo ili kuita makundi? Kwenye vijito vya Reubeni Palikuwa na makusudi makuu mioyoni.

Akafika penye mazizi ya kondoo kando ya njia, na huko kulikuwa na pango; Sauli akaingia ndani ili kuifunika miguu. Na Daudi na watu wake walikuwa wakikaa mle pangoni ndani sana.

Sitatwaa ng'ombe katika nyumba yako, Wala beberu katika mazizi yako.

Akamchagua Daudi, mtumishi wake, Akamwondoa katika mazizi ya kondoo.

Na mazizi yenye amani yamenyamazishwa, kwa sababu ya hasira kali ya Bwana.

Na hiyo nchi ya pwani itakuwa malisho, yenye vibanda vya wachungaji, na mazizi ya makundi ya kondoo.