Umempa haja ya moyo wake, Wala hukumzuilia matakwa ya midomo yake.
Hawakuachana na matakwa yao. Ila chakula chao kikali ki vinywani mwao
Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.
Matakwa yake mtu mvivu humfisha, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.