Hapo nisemapo, kitanda changu kitanituza moyo, Malazi yangu yatanipunguzia kuugua kwangu;
Nikitazamia kuzimu kuwa nyumba yangu; Nikitandika malazi yangu gizani;
Hukaa jabalini, ndiko kwenye malazi yake, Juu ya genge la jabali, na ngomeni.
Pande zake za chini ni kama vigae vikali; Hutandika malazi kama kuweka chombo cha kupuria nafaka juu ya matope.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.