wakafanya shauri wote pamoja kuja kupigana na Yerusalemu, na kufanya machafuko humo.
Mji wa machafuko umebomolewa; kila nyumba imefungwa, asipate kuingia mtu awaye yote.
Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.
Maana hapo palipo wivu na ugomvi ndipo palipo machafuko, na kila tendo baya.