Kiburi hutangulia uangamivu; Na roho yenye kutakabari hutangulia maanguko.
Waovu wakiongezeka, maasi huongezeka; Bali wenye haki watayatazama maanguko yao.
Baada ya mambo haya nitarejea, Nami nitaijenga tena nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga tena maanguko yake, Nami nitaisimamisha;