Skip to Content

"lisikie"

7 mara katika SUV

Isaya akamwambia Hezekia, Basi, lisikie neno la Bwana,

Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, Basi, lisikie neno la Bwana wa majeshi.

Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neno la Bwana.

Hata hivyo lisikie neno la Bwana, Ee Sedekia, mfalme wa Yuda; Bwana asema hivi katika habari zako; hutakufa kwa upanga;

Kwa sababu hiyo, Ewe kahaba, lisikie neno la Bwana;

ukauambie msitu wa Negebu, Lisikie neno la Bwana; Bwana MUNGU asema hivi; Tazama nitawasha moto ndani yako, nao utakula kila mti mbichi ndani yako, na kila mti mkavu; miali ya moto ule haitazimika, na nyuso zote toka kusini hata kaskazini zitateketezwa kwa moto huo.

Basi, sasa lisikie neno la Bwana; Wewe unasema, Usitabiri juu ya Israeli, wala usitoe neno lako juu ya nyumba ya Isaka;