Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake, Mtengenezeeni njia ya barabara, Apitaye majangwani kama mpanda farasi; Jina lake ni YAHU; shangilieni mbele zake.
Haleluya. Enyi watumishi wa Bwana, sifuni, Lisifuni jina la Bwana.
Haleluya. Lisifuni jina la Bwana, Enyi watumishi wa Bwana, sifuni.