Skip to Content

"likamjia"

30 mara katika SUV

Baada ya mambo hayo neno la Bwana likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako kubwa sana.

Nalo neno la Bwana likamjia likinena, Huyu hatakurithi, bali atakayetoka katika viuno vyako ndiye atakayekurithi.

Ndipo neno la Bwana likamjia Samweli, kusema,

Na Daudi alipoondoka asubuhi, neno la Bwana likamjia nabii Gadi, mwonaji wake Daudi, kusema,

Neno la Bwana likamjia Sulemani, kusema,

Hata ikawa, walipokuwa wameketi mezani, neno la Bwana likamjia nabii yule aliyemrudisha;

Ndipo neno la Bwana likamjia Yehu mwana wa Hanani juu ya Baasha, kusema,

Neno la Bwana likamjia, kusema,

Neno la Bwana likamjia, kusema,

Ikawa baada ya siku nyingi, neno la Bwana likamjia Eliya, katika mwaka wa tatu, kusema, Enenda, ukajionyeshe kwa Ahabu; nami nitaleta mvua juu ya nchi.

Ikawa, kabla Isaya hajatoka katika mji wa kati, neno la Bwana likamjia, kusema,

Ikawa usiku uo huo, neno la Mungu likamjia Nathani, kusema,

Naye Bwana alipoona ya kwamba wamejinyenyekeza, neno la Bwana likamjia Shemaya, kusema, Wamejinyenyekeza; sitawaharibu; lakini nitawapa wokovu punde, wala ghadhabu yangu haitamwagika juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.

Likamjia andiko kutoka kwa Eliya nabii, kusema, Bwana, Mungu wa Daudi baba yako, asema hivi, Kwa sababu hukuziendea njia za Yehoshafati baba yako, wala njia za Asa mfalme wa Yuda;

Ikawa, neno la Bwana likamjia Isaya, kusema,

Neno la Bwana likamjia Yeremia, kusema,

Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia, kusema,

Mwanzo wa kumiliki kwake Sedekia, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, neno hili likamjia Yeremia, kutoka kwa Bwana, kusema,

Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia, baada ya Hanania, nabii, kuivunja ile nira iliyokuwa juu ya shingo ya Yeremia, kusema,

Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia, kusema,

Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia, kusema,

Tena, neno la Bwana likamjia Yeremia mara ya pili, hapo alipokuwa akali amefungwa katika uwanda wa walinzi, kusema,

Kisha neno la Bwana likamjia Yeremia, kusema,

Basi, neno la Bwana likamjia Yeremia, kutoka kwa Bwana, kusema,

Ndipo neno la Bwana likamjia nabii Yeremia, kusema,

Basi neno la Bwana likamjia Yeremia, wakati ule alipokuwa amefungwa katika uwanda wa walinzi, kusema,

Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia huko Tahpenesi, kusema,

Neno la Bwana likamjia Yona mara ya pili, kusema,

Kisha neno la Bwana likamjia Hagai mara ya pili, siku ya ishirini na nne ya mwezi, kusema,

Kisha neno la Bwana likamjia Zekaria, kusema,