2 mara katika SUV
Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake; Wajulisheni watu matendo yake.
Na katika siku hiyo mtasema, Mshukuruni Bwana, liitieni jina lake; Yatangazeni matendo yake kati ya mataifa, Litajeni jina lake kuwa limetukuka.