Mkuu wa askari akamwekea Yusufu watu hao, naye akawahudumu, nao wakakaa siku kadha wa kadha katika kifungo.
Akawauliza hao maakida wa Farao, waliokuwa pamoja naye katika kifungo, nyumbani mwa bwana wake, akisema, Mbona nyuso zenu zimekunjamana leo?
Nao wakafanya pete mbili za dhahabu, na kuzitia katika vile vipande viwili vya ile naivera chini yake, upande wa mbele, karibu na kifungo chake, juu ya huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.
Yeye hulegeza kifungo cha wafalme, Na kuwafunga viuno vyao kwa mshipi.
Mara masikio yake yakafunguka, kifungo cha ulimi wake kikalegea, akasema vizuri.
Kwa maana nakuona u katika uchungu kama nyongo, na tena u katika kifungo cha uovu.
na kujitahidi kuuhifadhi umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.