Elkana, na Ishia, na Azaleli, na Yoezeri, na Yashobeamu, Wakora;
Na wana wa Uzi; Izrahia; na wana wa Izrahia; Mikaeli, na Obadia, na Yoeli, na Ishia, watano; wote wakuu.
Wana wa Uzieli; Mika mkuu wao, na Ishia wa pili.
Wa Rehabia; wa wana wa Rehabia, Ishia mkuu wao.
Nduguye Mika, Ishia; wa wana wa Ishia, Zekaria.
Na nduguze; wa Eliezeri, Rehabia mwanawe, na Ishia mwanawe, na Yoramu mwanawe, na Zikri mwanawe, na Shelomothi mwanawe.