Akamwambia, Binti, imani yako imekuponya, enenda zako kwa amani, uwe mzima, usiwe na msiba wako tena.
Yesu akamwambia, Enenda zako, imani yako imekuponya. Mara akapata kuona; akamfuata njiani.
Akamwambia Binti, imani yako imekuponya; enenda zako na amani.
Yesu akamwambia, Upewe kuona; imani yako imekuponya.