Na wana wa Israeli watazipanga hema zao, kila mtu katika marago yake mwenyewe, kila mtu hapo ilipo beramu yake mwenyewe, kama majeshi yao yalivyo.
kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako.
Kwa kuwa hazina yenu ilipo, ndipo itakapokuwapo na mioyo yenu.