ikaanza kuja miaka ile saba ya njaa, kama vile Yusufu alivyosema. Kukawa na njaa katika nchi zote, bali katika nchi yote ya Misri palikuwa na chakula.
Roho ya Bwana ikaanza kumtaharakisha katika Mahane-dani, katikati ya Sora na Eshtaoli.
Na siku ile ilikuwa siku ya Maandalio, na sabato ikaanza kuingia.
Na bahari ikaanza kuchafuka kwa kuvuma upepo mkuu.