Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; Bwana huwatia nuru macho yao wote wawili.
Huwatia jeuri wanawake katika Sayuni; Na mabikira katika miji ya Yuda.
Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.