Skip to Content

"huwatia"

3 mara katika SUV

Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; Bwana huwatia nuru macho yao wote wawili.

Huwatia jeuri wanawake katika Sayuni; Na mabikira katika miji ya Yuda.

Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.