3 mara katika SUV
Maana mikono ya wasio haki itavunjika, Bali Bwana huwategemeza wenye haki.
Bwana huwahifadhi wageni; Huwategemeza yatima na mjane; Bali njia ya wasio haki huipotosha.
Bwana huwategemeza wenye upole, Huwaangusha chini wenye jeuri.