Kwa uvumilivu mwingi mkuu husadikishwa; Na ulimi laini huvunja mfupa.
Na ufalme wa nne utakuwa na nguvu mfano wa chuma; kwa maana chuma huvunja vitu vyote na kuvishinda; na kama chuma kisetavyo vitu hivi vyote, ndivyo utakavyovunja-vunja na kuseta.
Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba;