Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristo naye hakufufuka;
tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure.
Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka.
Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu.