wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri;
wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri;
Alipokwisha kuingia, akawaambia, Mbona mnafanya ghasia na kulia? Kijana hakufa, bali amelala tu.
Na watu wote walikuwa wakilia na kumwombolezea; akasema, Msilie, hakufa huyu, bali amelala usingizi tu.