Skip to Content

"esion"

5 mara katika SUV

Wakasafiri kutoka Abrona, wakapanga Esion-geberi.

Wakasafiri kutoka Esion-geberi, wakapanga katika nyika ya Sini (ni Kadeshi).

Yehoshafati akafanya merikebu za Tarshishi ziende Ofiri kuchukua dhahabu; walakini hazikuenda; kwa maana merikebu zilivunjika huko Esion-geberi.

Ndipo Sulemani akaenda Esion-geberi, na Elothi, pwani ya nchi ya Edomu.

akapatana naye kufanya merikebu za kuendea Tarshishi; wakazifanya merikebu zile huko Esion-geberi.