Wakasafiri kutoka Abrona, wakapanga Esion-geberi.
Wakasafiri kutoka Esion-geberi, wakapanga katika nyika ya Sini (ni Kadeshi).
Yehoshafati akafanya merikebu za Tarshishi ziende Ofiri kuchukua dhahabu; walakini hazikuenda; kwa maana merikebu zilivunjika huko Esion-geberi.
Ndipo Sulemani akaenda Esion-geberi, na Elothi, pwani ya nchi ya Edomu.
akapatana naye kufanya merikebu za kuendea Tarshishi; wakazifanya merikebu zile huko Esion-geberi.