Skip to Content

"enoshi"

7 mara katika SUV

Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la Bwana.

Sethi akaishi miaka mia na mitano, akamzaa Enoshi.

Sethi akaishi baada ya kumzaa Enoshi miaka mia nane na saba, akazaa wana, waume na wake.

Enoshi akaishi miaka tisini, akamzaa Kenani.

Enoshi akaishi baada ya kumzaa Kenani miaka mia nane na kumi na mitano, akazaa wana, waume na wake.

Siku zote za Enoshi ni miaka mia kenda na mitano, akafa.

Adamu, na Sethi, na Enoshi;