Wa Naftali; Ahira mwana wa Enani.
kisha kabila ya Naftali; na mkuu wa wana wa Naftali atakuwa Ahira mwana wa Enani;
Na siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, mkuu wa wana wa Naftali;
tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe wawili waume, na kondoo waume watano, na mbuzi waume watano, na wana-kondoo watano waume wa mwaka wa kwanza; hayo ndiyo matoleo ya Ahira mwana wa Enani.
Tena juu ya jeshi la kabila ya wana wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani.