na Elishama, na Eliada, na Elifeleti.
Tena, Mungu akamwondokeshea adui mwingine, Rezoni mwana wa Eliada, aliyemkimbia bwana wake Hadadezeri mfalme wa Soba,
na Elishama, na Eliada, na Elifeleti, watu kenda.
na Elishama, na Eliada, na Elifeleti.
na wa Benyamini; Eliada mtu shujaa, na pamoja naye mia mbili elfu wenye nyuta na ngao;