Akasimama nyuma karibu na miguu yake, akilia, akaanza kumdondoshea miguu machozi yake, na kuipangusa kwa nywele za kichwa chake, akiibusu-busu miguu yake na kuipaka yale marhamu.
Wakalia sana wote, wakamwangukia Paulo shingoni, wakambusu-busu,
Salimianeni kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yawasalimu.
Ndugu wote wawasalimu. Salimianeni kwa busu takatifu.
Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu.
Salimianeni kwa busu la upendo. Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina.