Skip to Content

"atawaonyesha"

3 mara katika SUV

Naye Bwana atawasikizisha watu sauti yake ya utukufu, naye atawaonyesha jinsi mkono wake ushukavyo, na ghadhabu ya hasira yake, na mwako wa moto ulao, pamoja na dhoruba, na tufani, na mvua ya mawe ya barafu.

Naye mwenyewe atawaonyesha orofa kubwa, imeandikwa tayari; humo tuandalieni.

Naye atawaonyesha chumba kikubwa orofani, kimekwisha andikwa; andaeni humo.