Basi akakimbia yeye na yote aliyokuwa nayo; akaondoka akauvuka mto, akaelekeza uso wake kwenda mlima wa Gileadi.
Ndipo akakwea Hazaeli mfalme wa Shamu akapigana na Gathi, akautwaa; Hazaeli akaelekeza uso ili akwee kwenda Yerusalemu.
Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana akasema,
Basi Hezekia akajigeuza, akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba Bwana,