Wa Benyamini Abidani mwana wa Gideoni.
tena kabila ya Benyamini; na mkuu wa wana wa Benyamini atakuwa Abidani mwana wa Gideoni;
Siku ya kenda Abidani mwana wa Gideoni, mkuu wa wana wa Benyamini;
tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe wawili waume, na kondoo waume watano, na mbuzi waume watano, na wana-kondoo watano waume wa mwaka wa kwanza; hayo ndiyo matoleo ya Abidani mwana wa Gideoni.
Tena juu ya jeshi la kabila ya wana wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.