Tena, baada ya kufa kwake Hesroni huko Kalebu-Efrata, ndipo Abia, mkewe Hesroni, alipomzalia Ashuri, babaye Teboa.
Na wana wa Samweli; Yoeli, mzaliwa wa kwanza, na wa pili Abia.
ya saba Hakosi, ya nane Abia;
wa Abia, Zikri; wa Miyamini; wa Maazia, Piltai;